Menu ›
Burudani
Wed, 17 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ng’ombe Anayefahamika Kama ‘Mara Emovis’ Aliweka Rekodi Ya Dunia Baada Ya Kuuzwa Kwa $4.3m Zaidi Ya Tsh Bilioni 11.4/= Katika Mnada Uliofanyika Nchini Brazil Mwaka 2023
Sifa Kubwa Za Ng’ombe Wa Aina Hiyo Ni Ustahimilivu Wao Katika Hali Ya Hewa Joto, Kukabiliana Na Mazingira Ya Aina Yoyote ile Lakini Pia Kuzaliana Kwa Wingi
Hivyo Uvunjaji Wa Rekodi Hiyo Inaonyesha Umuhimu Wa Ng’ombe Nchini Brazil Na Kuthaminiwa Kama Mali Muhimu Katika Nchini Hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live