Menu ›
Burudani
Fri, 9 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtangazaji wa Clouds Media, Burton Mwemba maarufu kama mwijaku amempiga dongo supastaa wa Bongo Felva, Diamond Platnumz baada ya video yake ya #Mapoz kushindwa kuitoa #Dah ya Nandy kwenye trending ya YouTube.
Mwijaku kupitia akaunti yake ya X, ameandika; "Nasikia MWAMBINO analambishwa sukari guru na Nandy hukoo! Nyoko zake alafu anataka kushindana na Harmonize. nyoko wewe unashindwa na mtoto wa kike."
Nini maoni yako?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: