Menu ›
Burudani
Sat, 9 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki kutoka nchini Kenya, Viola Karuri amefunguka kuzungumzia story ya kusisimu ya kisa cha askari ambacho kimemtokea na kumsukuma kuandika wimbo ‘Nitakungojea’ maalum kutokana na tukio hilo.
Mrembo huyo akiwa Bongo5 amesema kuna siku alikuwa safarini nchini Kenya akasimamishwa njiani na askari na kuanza kupekua, baada ya tukio hilo askari huyo alianza kumtongoza mrembo huyo na kumwambia anaweza kumuachia gari yake hapo na italindwa mpaka pale atakaporejea safarini.
Loading...
Chanzo: bongo5.com