Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Muimbaji Viola aeleza namna alivyoitumia fursa ya kutongozwa na askari baada ya kupekuliwa (Video)

Video Archive
Sat, 9 Jun 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki kutoka nchini Kenya, Viola Karuri amefunguka kuzungumzia story ya kusisimu ya kisa cha askari ambacho kimemtokea na kumsukuma kuandika wimbo ‘Nitakungojea’ maalum kutokana na tukio hilo.



Mrembo huyo akiwa Bongo5 amesema kuna siku alikuwa safarini nchini Kenya akasimamishwa njiani na askari na kuanza kupekua, baada ya tukio hilo askari huyo alianza kumtongoza mrembo huyo na kumwambia anaweza kumuachia gari yake hapo na italindwa mpaka pale atakaporejea safarini.

Loading...
Chanzo: bongo5.com