Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mtanzania anayeishi kwa kutegemea kula chupa, misumari na wembe (Video)

Video Archive
Tue, 22 May 2018 Chanzo: bongo5.com

Katika hali isiyokuwa ya kawaida wiki hii kamera ya Bongo5 ilimnasa kijana ambaye anaishi kwa kutegemea kula chupa, misumari, wembe pamoja na mawe. Kijana huyo aliuambia mtandao huu kwamba amekuwa akiishi kwa kufanya maonyesha ya kula vitu hivyo ili kujiingizia kipato kwa zaidi ya miaka 2 sasa.

Loading...
Chanzo: bongo5.com