Menu ›
Burudani
Tue, 16 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mrembo kunako tasnia ya Bongo Movies, Hamisa Mobetto akimzungumzia staa wa Yanga SC #AzizKi baada ya kuulizwa na waandishi wa habari kama ametumika kumshawishi aendelee kuchezea klabu hiyo.
"Hakuna mtu aliyenifuata akasema nimshawishi (Aziz Ki). Ni mchezaji mzuri sana ni vizuri kama kabaki Tanzania, angeondoka ningepanda ndege kumfuata. Nilimwambia asiondoke, ni mtu mzuri ana upendo".
Wenye D Mbili mnasemaje katika hili.?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live