Menu ›
Burudani
Sat, 9 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
Mke wa marehemu, msanii wa Bongo Flava, Sam wa Ukweli amezimia baada ya kuuona mwili wa mumewe kijijini kwao Kiwangwa Bagamoyo, ambapo maelfu ya watu wamejitokeza kumsindikiza msanii huyo katika nyumba yake ya milele: Tazama video hii:
Loading...
Chanzo: bongo5.com