Menu ›
Burudani
Tue, 4 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Huko nchini Nigeria Mwanamke mmoja amezua gumzo kwenye mitandao ya Kijamii baada ya kumtengenezea mme wake Keki ya Birthday yenye Screenshot ya Chat ambazo alikuwa aki chat na Mchepuko wake.
Kwenye Chat hizo ambazo nimekuwekea kwenye slide, Mume wa mwanamke huyo alikuwa akimwambia Mchepuko kuwa anataka kumuacha mke wake ili awe na yeye na hampendi tena, na chat hizo ndizo ambazo mke wake ameziweka kwenye screenshot ambayo ameitengenezea kwenye keki ya birthday ya Mume wake.
Wewe unaweza kufanya kitu kama hiki?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live