Menu ›
Burudani
Fri, 6 Apr 2018
Chanzo: bongo5.com
Mbunifu wa mavazi wa Kimataifa, Makeke International amekuja upya na vazi la ungo baada ya kufanya vizuri mwaka 2017 na vazi la magome ya miti. Mbunifu huyo amesema nyota yake ilianza kung’aa baada ya kufanya kazi na msanii wa muziki wa asili nchini Tanzania, Mrisho Mpoto
Mbunifu wa mavazi wa Kimataifa, Makeke International amekuja upya na vazi la ungo baada ya kufanya vizuri mwaka 2017 na vazi la magome ya miti. Mbunifu huyo amesema nyota yake ilianza kung’aa baada ya kufanya kazi na msanii wa muziki wa asili nchini Tanzania, Mrisho Mpoto
Chanzo: bongo5.com