Menu ›
Burudani
Wed, 27 Oct 2021
Chanzo: eatv.tv
Mtayarishaji wa muziki Lizer Classic amejibu tuhuma za ku-copy wimbo wa 'Naazaje' alioimba nyota wa muziki wa Bongo Fleva Diamond Platnumz kwa kusema kuwa miziki yote duniani ni copy kinachofanyika ni kuboresha tu.
Mtayarishaji wa muziki Lizer Classic amejibu tuhuma za ku-copy wimbo wa 'Naazaje' alioimba nyota wa muziki wa Bongo Fleva Diamond Platnumz kwa kusema kuwa miziki yote duniani ni copy kinachofanyika ni kuboresha tu. Unaweza kutazama video kamili kupitia youtube ya #EastAfricaTV
Chanzo: eatv.tv