Menu ›
Burudani
Fri, 1 Oct 2021
Chanzo: millardayo.com
Ni Octoba 1, 2021 ambapo Mama Mzazi wa Marehemu Kanumba amefika Katika Makaburi ya Kinondoni kisha kufanya usafi kaburi la Steven Kanumba. Ayo TV & Millardayo.com imefika kaburini hapo na kazungumza na Mama Kanumba.
Ni Octoba 1, 2021 ambapo Mama Mzazi wa Marehemu Kanumba amefika Katika Makaburi ya Kinondoni kisha kufanya usafi kaburi la Steven Kanumba. Ayo TV & Millardayo.com imefika kaburini hapo na kazungumza na Mama Kanumba.
Chanzo: millardayo.com