Menu ›
Burudani
Mon, 13 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ni siku moja tu imebaki kufikia siku ya wapendanao, Valentine, upo kwenye mahusiano?, mipango yako ni ipi kwa valentine hii?
Rapper Kontawa anaamini Valentine ni mambo ya kutumia hela tu kwahiyo hana mipango
Akihojiwa Rapa Kontawa ametoa mtazamo wake kuhusiana na siku hii ya wapendanao ya Valentine;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live