Ni mwezi mmoja sasa umepita toka mwanadada Lupita Nyong’o alijie juu jarida la Grazia kwa kuonyesha ubaguzi dhidi yake na watu weusi, hata hivyo Jarida la Vogue nalo likapata nafasi kwa kumtumia mrembo huyo lipamba kava kwa mavazi yake ya kumeremetea.
Mrembo huyo mwenye asili ya Kenya na Mexico amepata shavu hilo la kukava jarida nguli dunilani la Vogue linaloyatajiwa kutola mwanzoni mwa mwaka na huku akitarajiwa kuzuongelea masuala ya mashusiano, sanaa yake pamoja na masuala ya unyanyasaji wa kingono ambao aliripoti kufanyiwa na mtayarishaji mkubwa wa filamu duniani Harvey Weinstein.
Picha katika jarida hilo: