Menu ›
Burudani
Fri, 17 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii alietamba na Kundi la Wakali Kwanza, Joslin amekutwa katika hali ambayo wengi wamehisi amejiingiza katika Matumizi ya Madawa ya kulevya.
Joslin aliewahi kutamba na kundi la Wakali Kwanza sambamba na Makamua na Qjay bado anatamani kufanya vyema katika game ya muziki wa Bongofleva.
Msikilize kwa undani akifanya mahojiano;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live