Lifestyle

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

SIL

Huyu ndie mtu mwenye nywele ndefu za masikioni Duniani

Nywele Ndefu Anthony Victor

Sun, 16 Jun 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Aliyekuwa mwalimu mkuu katika shule ya Madurai nchini India, Anthony Victor ndiye mtu pekee anayeshikilia rekodi ya Dunia ya Guinness kwa kuwa nywele ndefu zaidi za masikio duniani.

Kwa mujibu wa tovuti mbalimbali zimeeleza kuwa mwalimu huyo mstaafu ana nywele zinazochipuka kutoka katikati ya masikio yake sehemu ya nje ambazo zina urefu wa sentimita 18.1

Victor anatajwa kudumu katika rekodi hiyo bila mpinzani kwa zaidi ya mika 15 na mpaka sasa hakuna mtu ambaye amewahi kukuza nywele za masikio tangu yeye aliposhika rekodi hiyo mwaka 2007 hivyo kumfanya kuwa na nafasi kubwa katika kitabu cha rekodi ya dunia ya Guinness cha mwaka 2023.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live