Menu ›
Burudani
Thu, 26 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rapa kontawa ametusanua kilichomfanya aandike wimbo wa “CHAMPION” ambao umebadilisha maisha yake kwa asilimia kubwa sana tangu usikike kwenye masikio ya Watanzania.
Rapa kontawa ametusanua kilichomfanya aandike wimbo wa “CHAMPION” ambao umebadilisha maisha yake kwa asilimia kubwa sana tangu usikike kwenye masikio ya Watanzania. Kupitia Dozen Selection, Kontawa amesema alipata wazo la kuandika ngoma hiyo baada ya kwenda kwenye show moja mkoani, ambapo akiwa Jukwaani alipata shangwe la ajabu na kumfanya ajitafakari ukubwa wake!
Chanzo: www.tanzaniaweb.live