Menu ›
Burudani
Mon, 21 Oct 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hatimaye Eric omondi ameachiwa huru na kudhitisha kupitia ukurasa wake wa instagram video ikimuonesha akipita katikati ya polisi na wameamua kumuacha , akiwa amevalia baibui jeusi ndani ya gari.
Hatimaye Eric omondi ameachiwa huru na kudhitisha kupitia ukurasa wake wa instagram video ikimuonesha akipita katikati ya polisi na wameamua kumuacha , akiwa amevalia baibui jeusi ndani ya gari. Akiwa kiongozi wa Gen-Z nchini kenya akiongoza maandamano ya kupinga maadhimio ya serikali ya Rais Rutto kuhusu kupanda kwa gharama za maisha pamoja na haki za waliopoteza maisha wakati wa maandamano.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live