Menu ›
Burudani
Tue, 5 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Harmonize na aliyekuwa Girlfriend wake Jackline Wolper watakonga nyoyo za mashabiki wao kwa burudani katika sherehe za sikukuu ya Idd pili ambapo show yao wameiita KUSINIGHT na itafanyikia ukumbi wa Dar Live, Mbagala Zakhem.
Kwenye show hiyo Wolper ndiye atakayekuwa MC huku Harmonize akitumbuiza jukwaani ambapo ameahidi kufanya show ya kipekee.
Akizungumzia kiingilio cha show hiyo bei ya juu itakuwa ni tsh 10,000 na kutakuwa na viingilio vya bei ya kawaida.
Loading...
Chanzo: bongo5.com