Menu ›
Burudani
Fri, 21 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya wiki kadhaa za mabishano kati ya Diamond na Ali Kiba wakigombea namba moja kutrend katika mtandao wa You Tube.
Leo Julai 21 Mkali mwingine kutoka kiwanda cha BongoFlavour Harmonize ameacia ngoma yake mpya "Miss Bantu" akiwa amemshirikisha Spice.
Je Harmonize ataweza kuwashusha wakali hao na kujikita namba moja?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live