Menu ›
Burudani
Mon, 7 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya CEO wa Wasafi, Diamond Platnumz kusema kuwa angependa Harmonize awepo kwenye Show za Wasafi Mkoani Mtwara.
Hatimaye CEO wa Kondegang amejibu kupitria kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema kuwa suala hilo kamwe halitaweza kutokea.
Sikiliza Video kujua alichoandika Harmonize;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live