Menu ›
Burudani
Fri, 16 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Meneja wa Diamond Platnumz, Babu Tale amefunguka kwa kusema kwamba hakuna media ambayo inaweza kuwafukuza WCB Tanzania. Tale amesema hayo Jumatano hii wakati akizindua albamu ya msanii wake, Diamond Platnumz iitwayo ‘A Boy From Tandale’.
Meneja wa Diamond Platnumz, Babu Tale amefunguka kwa kusema kwamba hakuna media ambayo inaweza kuwafukuza WCB Tanzania. Tale amesema hayo Jumatano hii wakati akizindua albamu ya msanii wake, Diamond Platnumz iitwayo ‘A Boy From Tandale’.
Chanzo: bongo5.com