Menu ›
Burudani
Mon, 6 Dec 2021
Chanzo: Nipashe
Msanii Gigy Money 'Mama Mayra' ameweka wazi kwamba hana tofauti yoyote na Alikiba japo aliwahi kumkataa kimaneno kwa kusema hamjui wakati walikuwa wanafahamiana.
Gigy Money ameshea hilo baada ya kumsapoti Shilole kwenye ugomvi wake na Alikiba baada ya Kiba kusema hakumualika Shilole kwenye uzinduzi wa Album yake ya Only One King.
Interview nzima bonyeza hapa kutazama.
Chanzo: Nipashe