Menu ›
Burudani
Fri, 8 Oct 2021
Chanzo: millardayo.com
Msanii wa muziki kutokea D.R.C Congo, Fally Ipupa time hii amekutana na waandishi wa habari kuzungumzia show yake inayotarajiwa kufanyika kesho Jumamosi Mlimani Hall Dar es Salaam.
Msanii wa muziki kutokea D.R.C Congo, Fally Ipupa time hii amekutana na waandishi wa habari kuzungumzia show yake inayotarajiwa kufanyika kesho Jumamosi Mlimani Hall Dar es Salaam. Katika video hii amewataja wasanii wanaotokea katika tasnia ya Bongo Fleva anaowakubali akiwemo Vanessa Mdee, Diamond Platnumz, Alikiba, Barnaba, Christian Bella.
Chanzo: millardayo.com