Menu ›
Burudani
Mon, 9 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mume wa msanii wa filamu na mziki Baby Madaha Joe Kilumile amesema kabla hawajaona alikua anatumia Tsh Laki Tano kila anapokutana na Baby Madaha kwa muda wa miaka minne.
Mume wa msanii wa filamu na mziki Baby Madaha Joe Kilumile amesema kabla hawajaona alikua anatumia Tsh Laki Tano kila anapokutana na Baby Madaha kwa muda wa miaka minne. Tazama interview kamili hapo chini Baby Madaha na Mume wake wakifunguka zaidi kuhusu ndoa yao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live