Menu ›
Burudani
Thu, 25 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Kusubiriwa kwa hamu kubwa hatimaye Mwanamuziki @diamondplatnumz ametangaza kuachia Video ya wimbo wake "Komasava " usiku wa Leo saa 6 kuamkia kesho.
Baada ya Kusubiriwa kwa hamu kubwa hatimaye Mwanamuziki @diamondplatnumz ametangaza kuachia Video ya wimbo wake "Komasava " usiku wa Leo saa 6 kuamkia kesho. Komasava ni Wimbo unaofanya vizuri kwa Sasa duniani huku Challenge ya Wimbo huo ikichezwa na Mastaa mbalimbali Ulimwenguni ikiwemo Chris Brown na Jana @jasonderulo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live