Menu ›
Burudani
Wed, 7 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Bongo Fleva Diamond Platnumz ameachia Video ya wimbo wake mpya Mapozi leo Februari 7.
Katika Ngoma hiyo Diamond amewashirikisha Mr Blue na Dogo anaefanya vyema kwa sasa Jay Melody.
Itazame Ngoma hiyo kisha utupe maoni yako ni nani amefanya vyema kuliko mwengine?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live