Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Diamond Platnumz amtaja msanii anayempa tabu jukwaani nchini Kenya (+video)

Video Archive
Sat, 17 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz jana alifanya show kubwa ya uzinduzi wa album yake ya ‘A Boy From Tandale’ nchini Kenya na kukonga nyoyo za mashabiki wake na wadau wa muziki waliohudhuria kwenye uzinduzi huo.

Diamond Platnumz

Akiwa jukwaani Diamond aliulizwa na MC, kuwa Kenya kuna wasanii maarufu wengi na wengine wakongwe kama Nameless ambaye ana miaka 20 kwenye muziki unawaonaje?

Diamond akajibu “Katika watu ambao kila nikikutana nao kwenye show na kwanza nina bahati ya kukutana naye kwenye show anayokuwepo Nameless anauwa yaani anaperform kichizi kuzidi hata mimi mtoto wa Tandale”.

Tazama video hapa chini;

Chanzo: bongo5.com