Menu ›
Burudani
Thu, 17 Oct 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki Chris Brown aguswa na kifo cha msanii Liam Payne ambaye amepoteza maisha baada ya kuanguka ghorofani.
Brown ameeleza kuwa Liam alikuwa mnyenyekevu na mwenye furaha kila wakati.
“Nakupenda kaka na nimefurahia kuwa na wewe mara kadhaa, ulikuwa mtu mnyenyekevu na mwenye furaha kila wakati. Pumzika kaka yangu.” Ameandika Chriss Brown.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live