Menu ›
Burudani
Wed, 17 Aug 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchekeshaji Erick Ivyo Ivyo (Sauti ya Gharama) amefariki dunia Alfajiri ya leo na kwa sasa mwili wa Marehemu upo Kibaha mkoani Pwani kwa dada yake.
Mchekeshaji Mkojani Bin Daruweshi amethibitisha taarifa hiyo kwa kusema sasa hivi wasanii wanaelekea Kibaha kujua taratibu za kifamilia kuhusu mazishi.
Pia amesema wiki tatu zilizopita mchekeshaji huyo alilazwa katika Hospitali ya Amana, Ilala Dar es Salaam.
Zaidi msikilize hapa Mkojani akizungumzia kifo cha Mchekeshaji Erick.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live