Menu ›
Burudani
Wed, 5 Oct 2022
Chanzo: eatv.tv
Mwanamitindo maarufu nchini Tanzania Calisah amewaambia ukweli wasanii wa Tanzania wajifunze kwa msanii Nyashinski kutoka Kenya kwenye ufanyaji shows zao kwenye majukwaa.
"Wasanii wa Tanzania inabidi wajifunze kwa Nyashinski, ni msanii mkubwa sana amefanya bonge moja la show zaidi ya saa moja na nusu kwenye stage na energy ni ileile na ana utoauti mkubwa" amesema Nyashinski
Calisah amesema hivyo baada ya kumshuhudia Nyashinski akifanya show yake kwa mara ya kwanza nchini Tanzania baada ya miaka 16 kupitia Unmasked Edition pale Ware House Masaki.
Chanzo: eatv.tv