Menu ›
Burudani
Fri, 12 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mkali wa Afrobeat kutoka nchini Nigeria Burna Boy anaendelea kuvuka boda kwa kufanya ‘kolabo’ na wasanii mbalimbali katika mataifa makubwa, na sasa ameshirikishwa kwenye Album mpya ya ‘rapa’ 21 Savage iliyotoka leo Januari 12.
Mkali wa Afrobeat kutoka nchini Nigeria Burna Boy anaendelea kuvuka boda kwa kufanya ‘kolabo’ na wasanii mbalimbali katika mataifa makubwa, na sasa ameshirikishwa kwenye Album mpya ya ‘rapa’ 21 Savage iliyotoka leo Januari 12. Album hiyo ambayo imepewa jina la ‘American Dream’ imeshirikishwa ma-staa mbalimbali wakiwemo #Dojacat, TravisScott na wengineo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live