Msanii nguli wa komedi nchini, amemuonya msanii mwenzake Dulvan kwa vitendo vyake vya kuvaa nguo za kike ikiwemo kanga, madela na sidiria na kujipost jambo ambalo amesema ni kinyume na maadili kwa kijana wa kiume kufanya vitendo kama hivyo.
Msanii nguli wa komedi nchini, amemuonya msanii mwenzake Dulvan kwa vitendo vyake vya kuvaa nguo za kike ikiwemo kanga, madela na sidiria na kujipost jambo ambalo amesema ni kinyume na maadili kwa kijana wa kiume kufanya vitendo kama hivyo. Bambo amesema hayo ikiwa ni siku chache baada ya Dulvan kupost akiwa amevalia nguo za kike jambo lililosababisha mijadala mitandaoni hivyo kuitwa na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kwa ajili ya kujieleza kisha kuonywa kutokana na vitendo hivyo.