Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

BSS Msimu Mpya: Salama afunguka kuhusu mshindi anayemtaka

Video Archive
Thu, 9 Sep 2021 Chanzo: millardayo.com

Baada ya usiku wa jana kuzinduliwa kwa mashindano maarufu ya kusaka vipaji ya Bongo Star Search (BSS) kwa msimu wa 12, salama Jabir pia alikua ni miongoni mwa watu waliotambulishwa kama mmoja watakaokwenda kuwa majaji wa mashindano hayo kwa mwaka 2021.

Salama alishawahi kuwa jaji wa mashindano hayo hapo kabla laikini akapotea kwa takribani misimu miwili.

Mgeni Rasmi katika uzinduzi huo alikuwa ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo.

Baada ya utambulisho huo salama amezungumza vitu mbali mbali kuelekea katika mashindano hayo kwa mwaka 2021.

Chanzo: millardayo.com