Menu ›
Burudani
Sun, 8 May 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) Matiko Mniko amemshauri Diamond Platnumz na Zuchu kufanya marekebisho ya video yao ya Mtasubiri ambayo imefungiwa na TCRA na BASATA.
Matiko Mniko anasema video yao itaruhusiwa na kuendelea kuruka hewani endapo wakifanya marekebisho.
Interview nzima na Kaimu Katibu Mtendaji wa BASATA Matiko Mniko akizungumzia kufungiwa kwa video ya Mtasubiri.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live