Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

BASATA watoa neno kufungiwa kwa wimbo wa Diamond

Video Archive
Sun, 8 May 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) Matiko Mniko amemshauri Diamond Platnumz na Zuchu kufanya marekebisho ya video yao ya Mtasubiri ambayo imefungiwa na TCRA na BASATA.

Matiko Mniko anasema video yao itaruhusiwa na kuendelea kuruka hewani endapo wakifanya marekebisho.

Interview nzima na Kaimu Katibu Mtendaji wa BASATA Matiko Mniko akizungumzia kufungiwa kwa video ya Mtasubiri. 

Chanzo: www.tanzaniaweb.live