Menu ›
Burudani
Tue, 24 Aug 2021
Chanzo: eatv.tv
King wa Bongo Fleva, Alikiba amwaga chozi baada ya kuona picha iliyochora na kuwekwa kwenye frame ya marehemu Baba yake ‘Saleh Kiba’ aliyopewa kama zawadi kutoka kwa mmoja ya mashabiki zake.
Licha ya kuifurahia zawadi hiyo ya picha ila ilimtonesha kidonda cha kumpoteza mmoja ya watu muhimu maishani mwake.
Baba mzazi wa mwanamuziki huyo amefariki dunia mwaka 2019
Chanzo: eatv.tv