Menu ›
Burudani
Wed, 20 Oct 2021
Chanzo: eatv.tv
Baada ya albamu mpya ya King wa Bongo Fleva, Alikiba na kazi za wasanii wengine kuonekana zikiuzwa kiholea mtaani, Katibu wa Chama cha Wasanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Tanzania (TUMA) Samwel Mbwana (Bryton) amefunguka kuchukua hatua za haraka ili kuokoa sanaa ya Bongo.
Baada ya albamu mpya ya King wa Bongo Fleva, Alikiba na kazi za wasanii wengine kuonekana zikiuzwa kiholea mtaani, Katibu wa Chama cha Wasanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Tanzania (TUMA) Samwel Mbwana (Bryton) amefunguka kuchukua hatua za haraka ili kuokoa sanaa ya Bongo.
Chanzo: eatv.tv