Menu ›
Burudani
Mon, 12 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki kutoka Kenya, Willy Paul Msafi amefunguka kuhusu bifu lake na msanii mwenzake Bahati ambao wanadaiwa kutokuwa na mahusiano mazuri. Pia Willy ameeleza kuhusu mipango ya kufanya kazi na msanii mwenzake huyo.
Msanii wa muziki kutoka Kenya, Willy Paul Msafi amefunguka kuhusu bifu lake na msanii mwenzake Bahati ambao wanadaiwa kutokuwa na mahusiano mazuri. Pia Willy ameeleza kuhusu mipango ya kufanya kazi na msanii mwenzake huyo.
Chanzo: bongo5.com