Menu ›
Burudani
Sat, 17 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Mtangazaji wa kituo cha redio cha the citizen, Mzazi Tuva amefunguka kwa kumwagia sifa Diamond Platnumz kwa kufanya makubwa katika uzinduzi wa albamu yake ya A Boy From Tandale huku akiwataka wasanii wa K enya kuiga mfano wa muimbaji huyo.
Mtangazaji wa kituo cha redio cha the citizen, Mzazi Tuva amefunguka kwa kumwagia sifa Diamond Platnumz kwa kufanya makubwa katika uzinduzi wa albamu yake ya A Boy From Tandale huku akiwataka wasanii wa K enya kuiga mfano wa muimbaji huyo.
Chanzo: bongo5.com