Biashara

Habari

Burudani

Michezo

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

TECNO wazindua duka kubwa la simu Afrika Mashariki (Video)

Video Archive
Sun, 25 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Atashasta Nditiye, Jumamosi hii amezindua duka jipya la kisasa la kampuni ya simu za mkononi Tecno Tanzania liitwalo ‘Experience Center’. Ndani ya duka kuna mgahawa ambapo mteja ambaye anaingia kununua bidhaa atakuwa anapata juice pamoja na kahawa bure.

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Atashasta Nditiye, Jumamosi hii amezindua duka jipya la kisasa la kampuni ya simu za mkononi Tecno Tanzania liitwalo ‘Experience Center’. Ndani ya duka kuna mgahawa ambapo mteja ambaye anaingia kununua bidhaa atakuwa anapata juice pamoja na kahawa bure.

Chanzo: bongo5.com