Menu ›
Biashara
Sun, 25 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Atashasta Nditiye, Jumamosi hii amezindua duka jipya la kisasa la kampuni ya simu za mkononi Tecno Tanzania liitwalo ‘Experience Center’. Ndani ya duka kuna mgahawa ambapo mteja ambaye anaingia kununua bidhaa atakuwa anapata juice pamoja na kahawa bure.
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Atashasta Nditiye, Jumamosi hii amezindua duka jipya la kisasa la kampuni ya simu za mkononi Tecno Tanzania liitwalo ‘Experience Center’. Ndani ya duka kuna mgahawa ambapo mteja ambaye anaingia kununua bidhaa atakuwa anapata juice pamoja na kahawa bure.
Chanzo: bongo5.com