Menu ›
Biashara
Tue, 19 Oct 2021
Chanzo: millardayo.com
Stesheni ya Reli ya Kisasa (SGR) ya Dar es salaam imekamilika kwa 100% na itakuwa na uwezo wa kuhudumia Watu zaidi ya 3200 kwa wakati mmoja.
Stesheni ya Reli ya Kisasa (SGR) ya Dar es salaam imekamilika kwa 100% na itakuwa na uwezo wa kuhudumia Watu zaidi ya 3200 kwa wakati mmoja. Adha Stesheni hiyo imeunganishwa na barabara ya juu yenye urefu wa KM 2.5 ambapo treni zitakua zinapita juu kwa juu
Chanzo: millardayo.com