Menu ›
Biashara
Fri, 6 Sep 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Ijumaa, Septemba 6, 2024 amekutana na kuzungumza na wawekezaji na viongozi wa kampuni mbalimbali za China kwa ajili kujadili masuala ya ushirikiano na uwekezaji.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Ijumaa, Septemba 6, 2024 amekutana na kuzungumza na wawekezaji na viongozi wa kampuni mbalimbali za China kwa ajili kujadili masuala ya ushirikiano na uwekezaji. Rais Samia yupo nchini China kwenye ziara ya kikazi ambapo alishiriki Mkutano wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live