Biashara

Habari

Burudani

Michezo

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

John Heche acharuka "wamepandisha bei mafuta, wameshusha pombe"(+video)

Video Archive
Fri, 2 Jul 2021 Chanzo: millardayo.com

“Bunge la bajeti wamepunguza bei ya pombe, wameongeza bei ya mafuta, wengine sisi pombe haituhusu samahani mnaokunywa, lakini mafuta yanatuhusu kila mmoja wetu, ukipandisha bei ya mafuta unamgusa mpaka bibi kizee kule Kijijini ambae anatumia mafuta ya taa kwenye kibatari, unamgusa Mwanakijiji anaenda kusaga kwenye mashine inayotumia diesel, unamgusa bodaboda, mafuta ndio kila kitu, Bunge limepandisha bei ya mafuta limeshusha bei ya pombe” John Heche akongea kwenye kongamano la Katiba Day 

“Bunge la bajeti wamepunguza bei ya pombe, wameongeza bei ya mafuta, wengine sisi pombe haituhusu samahani mnaokunywa, lakini mafuta yanatuhusu kila mmoja wetu, ukipandisha bei ya mafuta unamgusa mpaka bibi kizee kule Kijijini ambae anatumia mafuta ya taa kwenye kibatari, unamgusa Mwanakijiji anaenda kusaga kwenye mashine inayotumia diesel, unamgusa bodaboda, mafuta ndio kila kitu, Bunge limepandisha bei ya mafuta limeshusha bei ya pombe” John Heche akongea kwenye kongamano la Katiba Day 

Chanzo: millardayo.com