Menu ›
Biashara
Wed, 30 Mar 2022
Chanzo: millardayo.com
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amefanya ziara Mkoani Kagera kwa lengo la kushiriki Mkutano wa wadau wa Kahawa Mkoani humo ambapo yeye ndio alikuwa mgeni rasmi.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amefanya ziara Mkoani Kagera kwa lengo la kushiriki Mkutano wa wadau wa Kahawa Mkoani humo ambapo yeye ndio alikuwa mgeni rasmi. Akiongea na wadau wa kahawa waliohudhulia mkutano huo ametangaza kufuta tozo 42 katika zao la kahawa kutoka tozo 47 za awali na kubakiza tozo tano kwa mkulima
Chanzo: millardayo.com