Wed, 4 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa jarida la Forbes, Legend wa Mpira wa Kikapu Michael Jordan kwa sasa amefikia utajiri wa Dola Bilioni 3 zaidi ya Tsh. Trilioni 2.5 na amefanikiwa kuingia kwenye majina 400 ya watu matajiri zaidi Amerika.
Kwa mujibu wa jarida la Forbes, Legend wa Mpira wa Kikapu Michael Jordan kwa sasa amefikia utajiri wa Dola Bilioni 3 zaidi ya Tsh. Trilioni 2.5 na amefanikiwa kuingia kwenye majina 400 ya watu matajiri zaidi Amerika.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live