Timu 3 kunako ligi ya kikapu @nba zinapewwa nafasi kubwa ya kuibuka mabingwa hadi sasa katika hatua za robo ya kwanza za regular season kabla ya kuelekea kwenye hatua za playoffs zinazotenganishwa na AllStar weekend.
Timu 3 kunako ligi ya kikapu @nba zinapewwa nafasi kubwa ya kuibuka mabingwa hadi sasa katika hatua za robo ya kwanza za regular season kabla ya kuelekea kwenye hatua za playoffs zinazotenganishwa na AllStar weekend. Timu hizo ni @celtics mabingwa mara 17 wenye msimu bora wakiongozwa na nyota Jayson Tatum na Jaylen Brown, @timberwolves yenye nyota Anthony Edwards, Karl-Anthony Towns na Rudy Gobert na ya tatu ni mabingwa watetezi wa 2022-23 @nuggets ya Nikola Jokic na Jamal Murray.