Timu ya mpira wa kikapu ya Giannis Antetokounmpo imeibuka na ushindi wa 184-175 dhidi ya timu ya Lebron James katika mchezo wa fainali ya NBA All-Stars 2023 huku nyota wa Boston Celtics, Jayson Tatum akivunja rekodi ya pointi 55 na kushinda tuzo ya ‘Kobe Bryant All-Stars MVP’
Timu ya mpira wa kikapu ya Giannis Antetokounmpo imeibuka na ushindi wa 184-175 dhidi ya timu ya Lebron James katika mchezo wa fainali ya NBA All-Stars 2023 huku nyota wa Boston Celtics, Jayson Tatum akivunja rekodi ya pointi 55 na kushinda tuzo ya ‘Kobe Bryant All-Stars MVP’ Tuzo ya ‘Kobe Bryant All-Stars MVP’ aliyopewa Tatum imepewa jina hilo kumuenzi nguli wa zamani wa mchezo huo Kobe Bryant.