Mon, 10 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shirikisho la mpira wa kikapu nchini @tzbball limemfungia mchezaji nyota wa timu ya taifa ya mpira wa wa kikapu 'The Tanzanites' na klabu ya @pazibasketball Dennis Chibura @babu_truth kujihusisha na mpira wa kikapu kwa muda wa miaka mitatu.
Taarifa hiyo imetolewa jana na Katibu Mkuu wa Shirikisho hilo bwana @mwenzekabinda kupitia kikao cha kamati ya utendaji kilichofanyika tarehe 8 julai, 2023 katika ukumbi wa mikutano uliopo hoteli ya Salvation Army.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live