Wed, 8 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
New York Knicks watakuwa Madison Square Garden wakiwakaribisha San Antonio Spurs.
Knicks wanaingia katika mchezo wakitoka kushinda nyumbani dhidi ya L.A Clippers kwa vikapu 111 - 97 wakati Spurs walipoteza kwa Pacers kwa vikapu 152 - 111
Wanafainali wa NBA msimu uliopita wanakutana Steph Curry na The Warriors wanasafiri kwenda kuwavaa mabingwa watetezi Nuggets ya Nikola Jokic
Nuggets wametoka kushinda dhidi ya Utah Jazz kwa vikapu 110 - 102 wakati Warriors wametoka kushinda dhidi ya Detroit Pistons kwa vikapu 120 - 109.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live