Sat, 13 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Miami Heat imeibuka na ushindi wa alama 96-92 dhidi ya New York Knicks na kutinga fainali ya Ukanda wa Mashariki NBA kwa ushindi wa jumla ya michezo 4-2.
Miami Heat imeibuka na ushindi wa alama 96-92 dhidi ya New York Knicks na kutinga fainali ya Ukanda wa Mashariki NBA kwa ushindi wa jumla ya michezo 4-2. Miami sasa inasubiri kucheza fainali na mshindi wa mchezo kati ya Boston Celtics dhidi ya Philadelphia 76ers ambao kwa sasa upo sare 3-3 mchezo unaotaraji kuchezwa saa 4:30 Usiku Jumapili ya kesho Mei 14, 2023 kwenye dimba la Court TD Garden nyumbani kwa Boston.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live