Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

MenuMichezo
Mpira wa Kikapu

MVP's wanavyotesa Olympic 2024

USAAAAAAAAAAAAA MVP's wanavyotesa Olympic 2024

Mon, 29 Jul 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Timu ya Taifa ya Marekani ya mpira wa kikapu imeanza vyema michuano ya Olympics 2024 baada ya kuifunga timu ya Taifa ya Serbia vikapu 110 kwa 84 na kufanikiwa kuongoza kundi C.

Timu hiyo iliyosheheni wachezaji bora wa ligi kuu ya mchezo huo nchini Marekani (NBA) kama;

- LeBron James aliyefunga pointi 21,Rebound 7 na Asisti 9

- Stephen Curry aliyefunga alama 11, Rebound 3 na Asisti 3

- Kevin Durant aliyefunga alama 23, Rebound 2

Wawakilishi wa Afrika Sudan Kusini wanafuatia kwenye msimamo wa kundi hilo baada ya juzi kuwatandika Puerto Rico vikapu 90-79 huku Serbia na Puerto Rico wakiwa mkiani mwa kundi.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live