Bronny James ambaye ni mtoto wa nyota wa kikapu wa NBA LeBron James wa Los Angeles Lakers amesema kwa sasa fikra zake zipo kwa ajili ya kucheza kwenye ligi ya kikapu Marekani (NBA) na siyo kucheza timu moja na baba yake msimu ujao.
Bronny James ambaye ni mtoto wa nyota wa kikapu wa NBA LeBron James wa Los Angeles Lakers amesema kwa sasa fikra zake zipo kwa ajili ya kucheza kwenye ligi ya kikapu Marekani (NBA) na siyo kucheza timu moja na baba yake msimu ujao. Bronny mwenye miaka 19 amesema hajawahi kufikiria kuwaza kucheza na baba yake zaidi ya kufikiria kujiunga na NBA kupitia NBA Draft itakayoanza Juni 26-2024 huku utakuwa ni msimu wa 22 kwa nyota LeBron James kushiriki ndani ya NBA.